KAMPALA - It looks like originality can never be guaranteed with Ugandan artistes, whether upcoming or established. The latest culprit is a never-heard-of kid who is trying to achieve easy fame by ...
Makala ya Vijana Mubashara inamuangazia mwanamuziki wa Uganda EeZzy ambaye alipata umaarufu mkubwa baada ya serikali kupiga marufuku nyimbo zake kuhusu mateso na msongo wa mawazo kutokana na COVID-19.